Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote,(Mathayo 28:19-20).
Haya ni Maneno Bwana wetu na Mwokozi wetu Yesu Kristo aliye hai ametuamuru watenda kazi wake kumkusanyia mavuno yake,kuwaleta wengi kwake na kuuingia Ufalme wake wa Mbinguni kabla ya Parapanda.