Ni wakati sasa wa wengi kumrudia Bwana na kuuingia Ufalme wake wa Mbinguni kabla haujaondolewa. Kupitia kitabu cha Mpokee Yesu uuingie Ufalme wa Mbinguni vinavyogaiwa bure kuwa msaada mkubwa wengi kumpa Yesu Kristo aliye hai maisha yao na kuuchagua Ufalme wake wa Nuru/wa Mbinguni sawasawa na Neno lake; Luka 10:2 ” Akawaambia,Mavuno ni mengi,lakini wavunaji ni wachache,Kwa hivyo,mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake”. Hivyo wilaya ya Nzega -Tabora nao wamefikiwa na wokovu na habari njema za Ufalme wa Mbinguni.